UNATAKA KUMUPENDESA KILA MUTU 2

Church Material S/No. 005

Fungu ya 4(2)

(Kama hujasoma fungu ya 4, hapo hutajua kule tumetokea. Kwa kuwa utafikiri tuko tumetokea Machakos kumbe tuko tumetokea Kirinyaga na tunaenda setu Mumias!)

Tunaendelea katika hii sehemu ya pili kutokea sehemu ya kwansa, fungu ya 4. Unajua, roho yangu haiko sawa na habari ya hii kaka mukubwa. Hii mambo imekuta watu mingi sana na imewaachia uchungu kwa moyo.

Unapotoa musaada, haimaanisi wewe uko na extra funds, no! Ni upendo tu, simple!

Watu mingi wako wamefanya matendo ya huruma kwa watu ingine mara mingi, ile ile matendo imewaletea sida mukubwa kwelikweli. Kwanini?

Mimi sina jibu, labda wewe unayo. Utaniambia huko beleni.

Hifi kweli, hata kama ni kweli sida ilikuwepo, walisindwa kuunganisa ngufu na kumsaidia kaka yao? Roho yangu iko na maumifu sana. Is as if this takataka has happened to me100%. Am in pain brother, seriously!

Familia nyingi siko simepata misukosuko ya kimaisa kwa kuweka mbele mambo ya dugu dugu. Dugu dugu hii hii mwiso iligeuka kuwa pilipili kichaa!

Ndoa singine simefunjika, kisa, dugu. Ukisa oa au kuolewa, concentrate with your family. Nskwambia. Acha hiso mambo sa kipuusi, oo… baba kanismbia nisomese mudogo yangu. Fine, nitasomesa hiyo moja but sio kuja kukaa kwa nyumba yangu… Nakwambia uncle wacha hiyo maneno, ni sida!

Simameni tuombe!

Pst. Anyango Anyango, PhD

Tuonane Fungu ya 6

© Presenter:
Abraham Blessings