KUMBE DIRISA YA SAMBI NI MACHO

Church Material S/No. 003

Fungu ya 3

KUMBE DIRISA YA SAMBI NI MACHO

Usijali ile kiswahili yangu, bado niko kwa ndarasa naendelea kuikarabati. Siku moja itakuwa musuri kama ile ya wa TZ.

Kanafasi ni mudogo. Nami nitasema kidogo.

Mutu ya Mungu, uko unamupenda Yesu?

Naamini uko unamupenda Yesu. Jipigie makofi menyewe. Sijasema ujipige, no! U-j-i-p-i-g-i-e! Kwa msisitiso. Manake Sasa hifi nawesa ona polisi hapa eti Muchungaji amefundisa mambo ya kusuru watu. Mimi siko na hiyo mambo ya Al-Shabab!

Tena ni jusi tu Yesu ako amesaliwa pale Betilehemu, ndio yuko na mwesi moja hifi! Mind you, hiso ni fitu sa hapa, Usije fikiri kule binguni ako mudogo ati hajui kitu ili ufanye sambi haraka haraka. Wewee, itakula kwako. Hii ni serehe tu kama file besdei ya dad yako Otorong’ong’o inakuwaga. Sawa?

Yesu yuko kamili kwa kiti yake ya ensi. Bado ako anachunga kondoo sake dunia musima. Na wewe ni mojawapo ya kondoo sa Yesu. Sema, ‘mimi ni kondoo!’

“Mimi ni kondoo.”

Good! Hiyo hapana matusi. Iko inamaanisa kuwa, wewe na mimi ni kondoo ya Bwana. Amina!

“Wewe mutoto, sema mimi ni kondoo!”

“Hapana, mimi si kondoo. Mimi naitwa Yethro!”

“Bwana Yesu akubariki Yethro!”

“Amina Mtumishi!”

Ai! Kanisa, muko munajifunsa nini hapa?

Tuendelee!

Sambi ni nini? Sambi ni kila neno au kitendo ile iko inauusi Mungu. Sambi ni kutokutii seria na maagiso yote ya Mungu. Watch out!

Siku moja mimi nilisikia ngufu kuu ya kutenda sambi, ikinikabili na kuning’ang’ania sana. Nikasikia sauti ingine iko inanikumbusa, wewe ni mutu ya Mungu, mbona uko unaangalia sambi ile iko inakutega mbele ya macho yako? Nikasituka! Mbele yangu alikuwa ako binti murembo tena ako amefaa nguo mufupi sana anaenda kwa mambo sake. File anatembea, body yote iko na-celebrate left and right! Left and right tena. Akili yangu haikukumbuka tena kama mimi niko Muchungaji. Akili yangu haikukumbuka tena habari ya Yesu, tajiri yangu. Hata Yehova Nisi nilimusahau! Mbayaa?

Kumbe dirisa ya sambi ni macho na akili. Kumbe mulango ya sambi ni masikio na akili. Kumbe njia ingine ya sambi ni mudomo na yale yatokayo moyoni. Mwanadamu, watch out, angalia bila kutenda sambi. Sikilisa bila kuruhusu virus ya sambi. Sungumusa kwa uangalifu kwa kuwa katika kinywa yako ndimo itokapo chemchem ya usima au mauti. Umba maisa yako kwa kinywa yako na usibomoe maisa yako kwa kinywa yako mwenyewe.

Mupende Yesu atayainua maisa yako. Chunga macho. Chunga masikio yako. Chunga mudomo yako. watch out!

Tuonane Fungu ya 4!

Pastor Anyango Anyango, PhD

© Presented by

Abraham Blessings™, DSM